Thursday, November 21, 2019

LAGOM SPORTS WEAR LEAGUE, KIFARU FC YATOLEWA

Tarehe 19 November 2019, haikua siku nzuri kwa timu ya kifaru fc,baada ya kulazwa mabao 2:1 dhidi ya Ilonga Fc zote za mji wa mlowo mkoani songwe,

Pamoja na kipigo hicho msemaji wa kifaru fc  Godfrey Kyando, alisema kua pamoja na matokeo hayo, klabu hiyo inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kucheza na klabu kubwa ikiwemo mbeya city ,kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika ligi zitazoanza mkoani Songwe
Kikosi cha kifaru fc

Kocha wa kifaru fc Isaya Bukuku

No comments:

Post a Comment