KIFARU FOOTBALL CLUB
Monday, July 13, 2020
MENEJA WA KIFARU FC KATIKA UBORA WAKE
Meneja wa timu ya kifaru fc akiwa katika pozi lake kabla ya kupewa mwaliko wa kikao cha ufunguzi wa ligi ya Mgangaluma Cup.
Kifaru football club yashindwa kushiriki ligi ya Mgangaluma Cup july 2020
Timu ya kifaru fc imeshindwa kushiriki ligi ya mgangaluma cup mwezi july 2020, hii ni baada ya waendeshaji wa ligi hiyo kuweka viwango vikubwa vya ushiriki wa ligi hiyo. Meneja wa timu hiyo mr Chaula Zico alipotafutwa na mwandishi wa timu hiyo na kuulizwa juu ya kutoshiriki ligi hiyo alidai kumekuwa na udhamini hafifu wa ligi katika kata ya mlowo huku wanaoanzisha ligi mbalimbali wamekuwa wapata faida mara mbili tofauti na kanuni za udhamini.
Thursday, November 21, 2019
LAGOM SPORTS WEAR LEAGUE, KIFARU FC YATOLEWA
Tarehe 19 November 2019, haikua siku nzuri kwa timu ya kifaru fc,baada ya kulazwa mabao 2:1 dhidi ya Ilonga Fc zote za mji wa mlowo mkoani songwe,
Pamoja na kipigo hicho msemaji wa kifaru fc Godfrey Kyando, alisema kua pamoja na matokeo hayo, klabu hiyo inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kucheza na klabu kubwa ikiwemo mbeya city ,kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika ligi zitazoanza mkoani Songwe
Kikosi cha kifaru fc
Kocha wa kifaru fc Isaya Bukuku
Pamoja na kipigo hicho msemaji wa kifaru fc Godfrey Kyando, alisema kua pamoja na matokeo hayo, klabu hiyo inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kucheza na klabu kubwa ikiwemo mbeya city ,kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika ligi zitazoanza mkoani Songwe
Kikosi cha kifaru fc
Kocha wa kifaru fc Isaya Bukuku
Saturday, November 2, 2019
Kikosi cha kifaru fc dhidi ya Veteran mlowo
1.Paul kindoki
2.Amosi simkoko
3.Samweli mwakapalila
4.Ansemo silwimba
5.Ivan Etek
6.Petrol Haonga
7.Kelvin Sanga
8.Patrick Mwamengo
9.Samson Peter
10.Elia panja
11.Nelson mtambo
Wanaosubiri
Charles mwamahonje
Jacob itunga
George msokwa
Wilson Emmanuel
Alfa mgale
Hamadi bagwa
Viongozi
Zico chaula ,meneja
Isaya bukuku ,kocha
Godfrey kyando, msemaji
Jeremiah Lukali,m/kiti
Alfa mgale,dokta
Imani mwasomola, mwandishi
Kifaru iliibuka na ushindi wa 4:2
2.Amosi simkoko
3.Samweli mwakapalila
4.Ansemo silwimba
5.Ivan Etek
6.Petrol Haonga
7.Kelvin Sanga
8.Patrick Mwamengo
9.Samson Peter
10.Elia panja
11.Nelson mtambo
Charles mwamahonje
Jacob itunga
George msokwa
Wilson Emmanuel
Alfa mgale
Hamadi bagwa
Viongozi
Zico chaula ,meneja
Isaya bukuku ,kocha
Godfrey kyando, msemaji
Jeremiah Lukali,m/kiti
Alfa mgale,dokta
Imani mwasomola, mwandishi
Kifaru iliibuka na ushindi wa 4:2
Thursday, October 24, 2019
Ligi ya Wilaya ya Mbozi
Tarehe 15/10/2019 Tulicheza na Maji FC ushindi ulikua 1-1
Tarehe 23/10/2019 Tulicheza na Vijana FC KIFARU iliibuka na Ushindi wa magoli 2-0
Tarehe 23/10/2019 Tulicheza na Vijana FC KIFARU iliibuka na Ushindi wa magoli 2-0
Subscribe to:
Posts (Atom)