Thursday, November 21, 2019

LAGOM SPORTS WEAR LEAGUE, KIFARU FC YATOLEWA

Tarehe 19 November 2019, haikua siku nzuri kwa timu ya kifaru fc,baada ya kulazwa mabao 2:1 dhidi ya Ilonga Fc zote za mji wa mlowo mkoani songwe,

Pamoja na kipigo hicho msemaji wa kifaru fc  Godfrey Kyando, alisema kua pamoja na matokeo hayo, klabu hiyo inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kucheza na klabu kubwa ikiwemo mbeya city ,kwa sasa wanaelekeza nguvu zao katika ligi zitazoanza mkoani Songwe
Kikosi cha kifaru fc

Kocha wa kifaru fc Isaya Bukuku

Saturday, November 2, 2019

Kikosi cha kifaru fc dhidi ya Veteran mlowo

1.Paul kindoki
2.Amosi simkoko
3.Samweli mwakapalila
4.Ansemo silwimba
5.Ivan Etek
6.Petrol Haonga
7.Kelvin Sanga
8.Patrick Mwamengo
9.Samson Peter
10.Elia panja
11.Nelson mtambo



Wanaosubiri
Charles mwamahonje
Jacob itunga
George msokwa
Wilson Emmanuel
Alfa mgale
Hamadi bagwa

Viongozi
Zico chaula ,meneja
Isaya bukuku ,kocha
Godfrey kyando, msemaji
Jeremiah Lukali,m/kiti
Alfa mgale,dokta
Imani mwasomola, mwandishi


Kifaru iliibuka na  ushindi wa 4:2

Thursday, October 24, 2019

Ligi ya Wilaya ya Mbozi

Tarehe 15/10/2019 Tulicheza na Maji FC ushindi ulikua 1-1
Tarehe 23/10/2019 Tulicheza na Vijana FC KIFARU iliibuka na Ushindi wa magoli 2-0